
Latest info kutoka kwa msanii huyu ni kwamba baada ya kutoka na ngoma yake ya Pete sasa ameamua kuingia katika tasnia ya Bongo movie kwani alisema kwamba japokuwa zamani alishawahi kuwa Assistant Director katika movie ya Wrong number lakini leo hii anafunguka na kusema kwamba kwasasa ameshafanya movie mpya na karabani bila kusahau alimalizia kwa kusema kwamba mashabiki wake wakae tayari kwa ujio wake katika tasnia ya Bong movies.
No comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII