![]() |
Hiki ni kitu kipya ndani ya Azam Complex, makao makuu ya klabu ya Azam FC, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. |
![]() |
Upanade wa juu wa Canteen kuna michezo ya aina mbalimbali kama huu. Kulia ni beki wa Azam FC, Aggrey Morris na kushoto shabiki wa timu hiyo Ally Mkonya |
![]() |
Inapendeza na wageni wanafurahia pia |
![]() |
Jamaa wanakwenda kuagiza chakula Canteen |
![]() |
Canteen nzuri |
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiII2FNurLsFdI0UGlfdvFByc1gb8wIp0xGQK19pwS1bxVdX8hGOV9aDUq3uVXeqZgA6EtTwrloJdkCTC-5DH93f2F9xasCxDhjXary2BqXsDTLhU8x3Kv41qTJJSiB2G_HrLzKU7q7T2C8/s280/6.jpg)
No comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII