Pages

Thursday, December 26, 2013

PICHA : JINSI MASTAA WA BONGO WALIVYOJICHANGANYA NA MASHABIKI WAO DAR LIVE JANA

Mastaa wa filamu Bongo, Dk. Cheni (kushoto), Wastara Juma (katikati) na Mzee Chilo (kulia) wakitoa burudani juu ya steji ya Dar Live.
Mwigizaji Wastara Juma akiongea na mashabiki wake wa Dar Live.
Dk. Cheni naye akilonga na mashabiki wake wa Dar Live,.
Mzee Chilo akijiachia stejini na Wastara.
...Mzee Chilo akicheza sambamba na mshereheshaji katika shoo ya leo, Pamela Daffa.
Mmoja wa wasanii wa Bongo Movie akiongea na mashabiki wake wa Dar Live.
Wastara akiwapa tano mashabiki.
Mshereheshaji Pamela Daffa akifanya yake stejini.
Nyomi ikiwashangilia baadhi ya mastaa waliopanda stejini.


SOURCE : GPL

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII