Pages

Monday, December 30, 2013

TAZAMA HII PICHA THEN WEKA KICHA CHA HABARI MWENYEWE, HAHA



Mwigizaji mkongwe nchini Ulimboka Mwakilasa al-maarufu kama “Senga”  amenaswa laivu na kamera ya mdau mmoja akishangaa laivu mzigo (wowowo) la mwanadada Agness Masogange wakati wakishoot filamu mpya ya mwanadada Nisha ambayo mwigizaji huyo ameshirikishwa. Tazama picha nyingine hapa chini...

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII