
Julie anajulikana sana kwa kipaji cha kuandika mashairi, na hilo aliligundua mnamo 2009 kwenye concert ya Slam Afrika iliyofanyika huko Westlands, Nairobi. Baadae mwaka huo, alipomaliza shule ya sekondari ya Hillcrest, Julie alienda kusoma katika chuo kikuu cha Duke cha Marekani.
Wakati akiwa Duke, alikutana na washairi kadhaa wazoefu na bora, mmoja wao akiwa ni Joshua Benne, ambaye ndiye aliyemhamasisha zaidi.
Leo, Julie ana uwezo wa ku-perfom kama mshairi kwa watazamaji duniani kote.
No comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII