BREAKING NEWS : MTANGAZAJI JULIUS NYAISANGA AFARIKI DUNIA, SOMA ZAIDI HAPA
Julius
Nyaisanga a.k.a Anko J (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mkongwe
Mwenzie,Aboubakar Liongo
|
HABARI zilizotufikia kutoka mkoani Morogoro ni kwamba Mtangazaji Mkongwe nchini, Julius Nyaisangah 'Uncle J' ameaga dunia. Mpaka mauti yanamfika, Marehemu Nyaisangah alikuwa Mhariri Mtendaji wa Abood Media iliyopo mkoani Morogoro.
Marehemu Julius Nyaisangah (katikati) akiwa katika pozi na Meneja Mkuu wa GPL Abdallah Mrisho (kushoto) |
0 comments:
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII