PREZO NA JAGUAR WAZIDI KUONYESHANA JEURI YA PESA, TAZAMA MWENYEWE HAPA

Gari la Jaguar lenye thamani ya shilingi Milioni 16 za Kenya ambalo liko
mwisho wa hii post, aliiingia nalo kwenye uwanja pembeni kabisa ya
jukwaa alipokwenda kufanya show ambapo alishuka kwenye gari wakati time
yake ya kupanda jukwaani ilipofika, alikua kalipaki karibu kabisa na
ngazi za kupandia jukwaani.
0 comments:
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII