VURUGU ZA ZENJI: JACK WA CHUZI ANUSURIKA KUPIGWA MAWE....SOMA ZAIDI HAPA
BONGONEWZ BLOG
WAKATI hali ikiwa bado tete visiwani Zanzibar kutokana na vurungu zinazoendelea, msanii wa filamu kutoka Tanzania Bara Jackline Pantzel ‘Jack wa Chuzi’,
amenusurika kuumia katika vurugu hizo wakati akijaribu kukimbia na hata
hivyo ameamua kuondoka zenji ili kuepusha balaa ambalo lilitaka
kumtokea huko.
Msanii huyo alikuwa visiwani huko kikazi za sanaa, lakini ameshindwa kuendelea na kazi hyo na kuamua kurudi Bara, ili kupisha vurunga hizo na hali itakapokuwa tulivu watarudi tena ili kumaliza kazi waliyokuwa wanafanya.
Akiongea na mtandao wa MPEKUZI ,Nisha alisema kuwa vurugu hizo zilimfanya ashindwe hata kula kwani mawe na chupa vilirushwa mfululizo karibu na eneo walipokuwa wamekaa kitu ambacho kimemfanya kuamua kurudi Dar, amedai hata barabara nazo zimefungwa na zimejaa watu eneo lote la mji.
“Yani we acha huku Zanzibar ni kuna vurungu hata hakutamaniki nilikuwa huku kwa ajili ya kazi lakini kutokana hali hii bora nirudi kwanza Dar, nilitaka kurudi jana lakini barabara hazipitiki hivyo leo nimepata usafari wa ndege,” alisema.
Msanii huyo alikuwa visiwani huko kikazi za sanaa, lakini ameshindwa kuendelea na kazi hyo na kuamua kurudi Bara, ili kupisha vurunga hizo na hali itakapokuwa tulivu watarudi tena ili kumaliza kazi waliyokuwa wanafanya.
Akiongea na mtandao wa MPEKUZI ,Nisha alisema kuwa vurugu hizo zilimfanya ashindwe hata kula kwani mawe na chupa vilirushwa mfululizo karibu na eneo walipokuwa wamekaa kitu ambacho kimemfanya kuamua kurudi Dar, amedai hata barabara nazo zimefungwa na zimejaa watu eneo lote la mji.
“Yani we acha huku Zanzibar ni kuna vurungu hata hakutamaniki nilikuwa huku kwa ajili ya kazi lakini kutokana hali hii bora nirudi kwanza Dar, nilitaka kurudi jana lakini barabara hazipitiki hivyo leo nimepata usafari wa ndege,” alisema.
0 comments:
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII