Showing posts with label video. Show all posts

KIOJA CHA MWAKA, TAZAMA VIDEO HII YA MAITI ILIYOGOMA KUSAFIRISHWA

0 comments




Jiji la Eldoret kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya leo lilishuhudia tukio la kushangaza baada ya maiti iliyokuwa inasafirishwa kwa maziko kukataa safari hiyo.

Kizaazaa kilizuka pale gari lililokuwa limelibeba jeneza lenye mwili wa marehemu kupata hitilafu na licha ya kubadilishwa gari jingine, nalo pia lilikataa kuwaka. 

Hapo ndipo marafiki na jamaa ya marehemu walipochukua fursa ya kuirai maiti hiyo ili ipate kufikishwa eneo la maziko. 

Baada ya maombi ya takribani saa moja kutoka kwa ndugu na jamaa wa marehemu kuiomba maiti hiyo ikubali kusafirishwa, hatimaye safari ilianza na kuacha maswali mengi yasiyo na majibu kwa mashuhuda wa tukio hilo.

Soma zaidi Hapa »

ANZA SIKU YAKO KWA KUBOFYA HAPA, UTACHEKA MPAKU UFE

0 comments
funny video cartoon


Soma zaidi Hapa »

HAHAHA!! BOFYA HAPA, UTACHEKA MPAKA UKAE CHINI

0 comments




Soma zaidi Hapa »

CHECK OUT NEW VIDEO JAMBO SQUAD - TUKUNYEMA

0 comments

Soma zaidi Hapa »

TAZAMA KAZI ZA MAREHEMU SHARO MILLIONEA KABLA UMAUTI HAUJAMFIKA

0 comments


KOMEDIAN ambaye pia alikuwa msanii wa muziki wa Bongofleva, Hussein Mkieti ‘Sharo Milionea’ amefariki dunia leo majira ya saa mbili usiku katika ajali ya gari. Sharo amefikwa na mauti wakati akiwa safarini akitokea Dar es Salaam kuelekea nyumbani kwao, Kijiji cha Lusanga, Muheza mkoani Tanga. Msanii huyo alikuwa anaendesha gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T478 BVR na amepata ajali eneo la Songa- Maguzoni wilaya ya Muheza mkoani Tanga. Marehemu alikuwa peke yake kwenye gari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Costantine Massawe amethibitisha kutokea ajali hiyo na katika taarifa yake kwa vyombo vya habari saa chache baada ya ajali,  alisema kuwa mchoro wa ajali unaonesha kuwa gari la marehemu liliacha njia kabla ya kupinduka mara kadhaa. Naye Mkuu wa Wilaya ya Muheza, Subira Mgalu amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kubainisha kwamba gari alilopata nalo ajali limeharibika sana.

“Mimi sijafika eneo la tukio lakini nimezungumza na OCD wetu hapa Muheza, Andrew Satta yeye alifika eneo la tukio na kunipa taarifa kamili. Ukweli ni kwamba msiba huu ni majonzi na pigo kubwa kwa Wilaya ya Muheza kwa sababu huyu kijana ni mzawa wa hapa.
“Muheza tulikuwa tunajivunia kipaji cha Sharo Milionea lakini hatuna jinsi, kila kitu kinapangwa na Mwenyezi Mungu,” alisema Mgalu.















Soma zaidi Hapa »
Copyright © 2013. ArtAfropixels Media.com - All Rights Reserved
Customized by: IT XPERTTZ ONE | Powered by: BS
Designed by: Tilabs