Showing posts with label bongompya. Show all posts

HATIMAYE VIDEO YA DIAMOND YAANZA KURUSHWA KWENYE TELEVISION ZA KIMATAIFA ZA BURUDANI, UNAJUA NI TV ZIPI?? BOFYA HAPA

1 comments




d8 
Lilikuwa swali kwamba inakuaje video iliyotumia ya gharama kubwa zaidi ya msanii wa bongoflava haipati airtime kwenye vituo vya kimataifa wakati video nyingine za wasanii wa muziki huu huu wanafanikiwa kupata airtime.
Jibu la swali hilo hatimaye limepatikana baada ya video ya My number one kuanza kuchezwa kwenye vituo maarufu duniani.
Diamond kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii aliwajulisha mashabiki wake kwamba wanaweza pia kuiona video ya My number one kwenye channel ya Trace na Sound City.
Kupitia Trace video hiyo imetambulishwa kama video mpya na kwenye Sound city imerushwa kwenye trending video request na hizi ni picha kutoka kwenye screen wakati video hiyo ikipata airtime kwa mara ya kwanza kwenye vituo hivi.
d1
d2
d3
d6
d7




Soma zaidi Hapa »

PICHA : MTAZAME DIAMOND AKIFANYA INTERVIEW NA EBONY TV YA NIGERIA

0 comments

TAZAMA PICHA 5 ZA DIAMOND ALIPOKUA AKIFANYA MAHOJIANO NA EBONY TV YA NIGERIA


Soma zaidi Hapa »

HIZI NDIZO PICHA ALIZOTUPIA DIAMOND KATIKA BLOG YAKE AKIWA NIGERIA

0 comments
 Mapema asubuhi ya leo katika mizunguko yangu hapa 
Lagos,nilipata nafasi ya kuonana kwa mara nyingine
 tena na mwanamziki M.I Agba..legend wa mziki wa hiphop
 nchini hapa,nilionana mara ya kwanza na
 Agba Nairobi Kenya kwenye project ya Coce studio...baada ya
 kuonana tena..tulitumia fursa kupiga misele ya
 hapa na pale..na Mungu akijaalia we
 gonna do something....WCB wasafi for life......


Soma zaidi Hapa »

TAZAMA VIDEO MPYA YA HAMMER Q NA MKEWE SALHA

0 comments
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiphY7xo6pSQNUupaIFVcJ4kwfhEQdU9G8Py8jK9u4ar5heGaeEBHeXIcVz36bkuvkQu6slI03ZmoFopfD-YBAPOWKUI9K949Bj7IV0PoSpM3TjFgzIUeWwjAVLY8arUZ9L4L_tP1sOA9Iz/s640/ha.jpg


Soma zaidi Hapa »

KUTOKA MOROGORO: WAKAZI WAANZA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU MANGWEA , TAZAMA PICHA HAPA

0 comments
 Mama Mzazi wa Mangweha, Denisia Mangweha akiwa nyumbani kwake kabla ya safari kuelekea Uwanja wa Jamhuri.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera akiwasili nyumbani kwa Mama mzazi wa Mangweha.
  Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera asubuhi hii amefika nyumbani kwa Mama Mangwea eneo la Kihonda Mazimbu Road na kumpa pole kwa niaba ya wakazi wote wa mkoa wa Morogoro. Baada ya kutoa pole, Mhe. Bendera aliongoza umati wa watu kutoka Kihonda kuelekea Uwanja wa Jamhuri kwa shughuli za kuaga mwili wa Albert Mangwea aliyefariki dunia Mei 28 mwaka huu nchini Afrika Kusini. Mangwea anatarajiwa kuzikwa katika makaburi ya Kihonda nje ya Kanisa la Mtakatifu Monica jirani kabisa na alipozikwa baba yake mzazi Mzee Keneth Mangwea.


 Wakazi wa mjo wa morogoro waanza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa marehemu albert Mangwea kabla ya kumpeleka katika Nyumba yake ya Milele. Mungu ailaze roho ya Marehemu Mahala Pema.
 Baadhi ya wasanii na wananchi waliohudhulia uwanjani wakati wa kuaga mwili wa marehemu albert mangwea uwanja wa jamhuri morogoro. 
943280_10152915710755525_916679441_n
Watu wakiaga mwili wa Marehemu albert mangwea uwanja wa Jamhuri morogoro

Soma zaidi Hapa »

HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU ALBERT MANGWEA....TAZAMA PICHA

0 comments


Dah this is it ndugu yetu mpendendwa ndo ametangulia mbele za haki na sasa ule muda wa kutoa heshima za mwisho ndo umewadia. Mungu awape nguvu wale wote waliofikwa na msiba huu. Image credit DJ Choka

Mwili wa marhemu Albert Mangwea ukiwa kwenye jeneza tayari kwa watu kutoa heshima za mwisho

Umati wa watu wakiwa wamepanga mstari tayari kwa kwenda kuaga huku kikosi cha msalaba mwekundu na polisi kikiwa stand by just incase anything happens. Sasa naskia watu badala ya kwenda na kuaga wao wako busy wanapiga picha kha hizi teknolojia aiseee tutajutaaaa 
Baadhi ya ma super star wa bongo wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuaga.
Diamond Platnumz akipita mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu Albert Mangwea kutoa heshima zake za mwisho. Kupita instagram ameandika "Hakika ni pengo Kubwa.... R.I.P Brother"

Soma zaidi Hapa »

TASWIRA KUTOKA NYUMBANI KWAO MAREHEMU ALBERT MANGWEA KIHONDA MOROGORO.

0 comments


 Afande Sele The King akimfariji mama yake Albert Mangwea. Kupitia ukurasa wake wa facebook ameandika hivi "Kama mwana wa mwenzio ni mwanao,basi hata mama yake Ngwea ni mama
yangu! Pole sana Bi mkubwa."
 Baadhi ya ndugu jamaa na marafiki wakiwa msibani hapo nyumbani kwao marehemu Mangwea Kihonda Morogoro
 Baadhi ya watu msibani hapo wakijadiliana jambo
 Huzuni kila mahali
 Dully Sykes ametangulia huko kuhakikisha mambo yanaenda sawa
 Wakina mama wakiwa na majonzi
 Dah usiombe yakukute jamani this is so sad
Viti kwaajili ya shughuli nzima ya msiba vikiwa tayari kwa kupangwa

Soma zaidi Hapa »

LADY JAYDEE NAYE ASITISHA SHOW YAKE KUOMBOLEZA MSIBA WA MANGWEA....SOMA ZAIDI

0 comments
Mwanamuziki nguli wa muziki wa kizazi kipya nchini, mwanadada Judith Wambura Maarufu kama Lady Jaydee ametangaza kuahirisha shughuli ya maadhimisho ya miaka 13 tangu aanze muziki iliyokuwa imapangwa kufanyika Ijumaa hii ya Mei 31, 2013 katika mgahawa wake wa Nyumbani Lounge kupisha msiba wa kifo cha msanii Albert Robert Mangweha aliyeripotiwa kufariki nchini Afrika Kusini jana.

Judith amesema hayo muda mfupi uliopita (saa 3:52 asubuhi) wakati akihojiwa katika kipindi cha Super Mix ya East Africa Radio na mtangazaji Zembwela.
  
Jaydee ameeeleza uamuzi wake wa kutitisha show hiyo kuwa unalenga kutoa nafasi kwa wafiwa wote na wadau wa tansnia ya muziki na wapenzi wa Mangwea kumaliza taratibu za kumsitiri kipenzi chao na kueleza kwamba tarehe nyingine ya shughuli hiyo itatangazwa baadae.
 

Tangu amekaribishwa studio, Judith Wambura alionekana kuwa na majonzi sana kiasi cha kushindwa kuongea mara kwa mara na kukatisha mazungumzo yake kutokana na kukabwa na kilio.

Soma zaidi Hapa »

TAZAMA BAADHI YA PICHA ZA WASHIRIKI WA BIG BROTHER AFRICA 'THE CHASE' WAKIWA KATIKA POZI

0 comments

Ghana - Selly.
Angola  - Biguesas.
Botswana - Motamma.

Soma zaidi Hapa »

NI MAJANGA TENA KWA LADY JAY DEE, SOMA KILICHOMPATA LEO HII

1 comments
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhBgKoHqxba6wAVadefZCyhb9D2HatcIFbZMpQ1awOY7Bn6oFOb1AdpJKZxXOeCOqZsuKWJE60DGeNZ1H0lU5CFME5IqT4PKi2oNaCd2po6rt9mtX7w7N_vEmDa8pLoDp4hQaWPcoI8gNI3/s400/DSC05754.JPGShow ya miaka 13 katika muziki ya Lady Jaydee inazidi kupata pigo baada ya TID kuwa msanii mwingine latest kujitoa kwenye show hiyo.
401187_10150536949328749_793704636_n
Moja ya sababu anayosema TID ni kuwa ana mkataba mwingine wa show unaolipa zaidi.. Sababu ya pili ni kuwa hataki kuwa katikati ya ugomvi wowote.
Hivi ndivyo alivyoandika TID kwenye ukurasa wake wa Facebook.
“Three reason why i can’t do lady JIDE SHOW ………….No.1 I have better contract pays me better than.No.2 I really don’t want to be between anybody’s conflict ya kwangu yananishinda naona nieupushe shari…No.3 nataka kuoa muda wangu ndo huu ……………kama nimekukosea captein na madame kazeni but I have been thru same shit.”
Tayari Linah, Barnaba na Matonya wamejitoa kutumbuiza kwenye show hiyo.

Soma zaidi Hapa »

LADY JAY DEE AANIKA VIDEO YA MAKUBALIANO WALIYOFANYA KATI YAKE NA LINAH, BARNABA KUHUSIANA NA SHOW YAKE...

0 comments


Linah na Barnaba ni watoto wazuri sana
Hawana makuu ila katika hili kuna jambo limepita katikati
Ambalo liko nje ya uwezo wao na kuwalazimu wao kukanusha kuwa hatukukubaliana malipo katika show, mbali na kuwa walishachukua pia mpaka advance. Wote wawili
Wao wote wawili humuita Captain Dady:

Yafuatayo ni mazungumzo kati ya Dady na mtoto:

CAPTAIN: Mwanangu ndo hii namba yako?
LINAH:     Ndyo baba
LINAH:     Sasa baba mimi nafanya ***miln

CAPTAIN: Ok hiyo unastahili kabisa, Safari hii sina mdhamini bajeti yangu haifiki huko kwahiyo sitamudu, lakini next time nitajitahidi tuwe pamoja mwanangu.
Nitakualika VIP siku hiyo kama una nafasi, Okey!

LINAH: Ouhk but we can talk ulikuw unahwmuch?

CAPTAIN: Linah mi nna MLN*** ndugu yangu karibu tushirikiane, Am sure kuna siku nitashiriki ktk jambo lako pia. Tatizo sina mdhamini hata mmoja na napenda tuwe pamoja siku hiyo.

LINAH: Sawa dady
CAPTAIN: Thanks Kido

Siku walipotakiwa kuja ku shoot drops za TV na kuchukua advance

LINAH: Hi dady! Naweza pitia hapo nw?

Captain akampigia akamuambia aje, na wakafika wote wawili pamoja na Barnaba
Na baada ya siku hiyo, wosia ukatoka mitandaoni.
Kilichofuatia Linah alimfuata Barnaba usiku akamtupia bahasha akakimbia. "Kwa maelezo ya Barnaba".

Hivyo Barnaba akamuambia pesa kila mtu alipokea kwa mkono wake twende tu tukamrudishie dada, Dada ni muelewa atajua tu nini kimetokea. Linah akakataa akatimua zake.

Nashukuru kwa ustaarabu wa vijana hawa wawili wamekuwa waaminifu, Barnaba amezirudisha pesa zote, zake na za Linah na kuomba radhi kwa yote yaliotokea.

Gardner hajawahi kumtumia mtu yoyote anaehusika na uongozi wa THT msg kuwa eti majina ya Linah na Barnaba yaliwekwa by mistake kama ambavyo iliongelewa na moja wa viongozi wa THT

Mimi bado nawapenda sitawahukumu na ninaomba muwaelewe tu kuwa wamebanwa na hawana ujanja japo dhamira yao ilikuwa ni kushiriki show ya miaka 13.

Ila kama hakukuwa na makubaliano kama ambavyo Linah na Barnaba wameshinikizwa kuongea, walikubalije kuja mpk kuchukuliwa kwenye video camera huku wakijua wazi huo ni ushahidi tosha.....Angalia video hapo juu upate majibu
SOURCE ; ladyjaydee.blogspot.com

Soma zaidi Hapa »

SAKATA LA SHOW YA JIDE : MATONYA NAYE AUNGANA NA KINA LINAH KUICHOMOLEA SHOW...PESA KALAMBA, SHOW KAGOMA KUPIGA....TIRIRIKA HAPA

1 comments

Seif Shaban ‘Matonya’.
Na Mwandishi Wetu
WAKATI wasanii wa Bongo Fleva, Elias Barnaba na Estalina Sanga ‘Linah’ wakidaiwa kupokea fedha na kuitolea mbavuni shoo ya Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ au Jide, msanii Seif Shaban ‘Matonya’ naye ameuvaa msala mpya wa kuikacha shoo hiyo huku akiminyia mshiko wa kianzio (advance) aliolipwa tangu  mwishoni mwa Aprili, mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Lady Jaydee, Matonya alikuwa miongoni mwa wasanii watakaopafomu katika shoo ya kuadhimisha miaka 13 ya Lady Jaydee inayotarajia kufanyika Mei 31, mwaka huu katika Ukumbi wa Nyumbani Lounge, jijini Dar lakini baadaye akagaili.
Kwenye maelezo ambayo Jide ameyaweka katika mtandao wake, aliainisha madai kuwa huenda Matonya naye akawa ametumiwa na watu wasioitakia mafanikio shoo hiyo baada ya kupata taarifa kuwa anatarajia kutumbuiza kwenye shoo hiyo kama ilivyotokea kwa Barnaba na Linah.
Kudhihirisha hilo, Lady Jaydee ameanika mahojiano kati ya Gardner G. Habash ‘Captain’  kama meneja wa Lady Jaydee na Matonya kwenye blogu yake kuonesha namna ambavyo anahisi staa huyo ametumiwa. Yafuatayo ni baadhi ya mahojiano haO:
Matonya: Kaka kumbe tarehe ni lini kumbe?
Captain: Ni Ijumaa tar 31 Mei 2013 kaka mwezi ujao. Tutakuwa na Linah, Jay, Barnaba, Matonya, TID, Hamza Kalala.
Matonya: Kaka kumradhi sana kuimba na bendi kwa sasa sitoweza manake mtahitaji mandalizi makubwa ili nifanye kazi vizuri ningeomba nitizamwe katika kazi nyingine kaka kumradhi sana.
Captain: Duh! nilishatangaza kaka, lakini sawa. Je, nitapata ile hela nilipe wengine ndugu yangu?
Matonya: Aisee! hata nimekosa raha kukujuza ili swala bro,  kesho saa tano nitampa yule rafiki yangu anaitwa Pizon walikuja kuleta ile pesa ya gari kwa hiyo wataileta hapo hapo ofisini.
Captain: Sawa kaka usijali, nitashukuru akiileta ili huku nisipate lawama.
Matonya: ok bro.
Mara kimyaaaaaaa... baada ya siku mbili tatu maongezi yakaendelea
Captain: Naam kaka, mzigo haujaletwa. Tafadhali ileteni tu hiyo hela ya watu kaka. Napewa lawama, isitoshe we ni ndugu yangu usikubali hela ndogo iharibu.
Matonya: Gadner haiwezi kuwa hivyo, kuna mapungufu kidogo nayaweka sawa uipate. Kumradhi sana blaza.
Captain:  Asante
Pamoja na kukubaliwa kutoshiriki shoo hiyo kutokana na sababu alizojitetea, Matonya bado hajarejesha fedha za kianzio alizolipwa kwa ajili ya shoo hiyo hali ambayo inaleta mtafaruku mwingine licha ya kuwa alisisitizwa kurejesha.


CREDITS - GPL

Soma zaidi Hapa »

NEW!! NEW!! NEW SONG KUTOKA KWA NISHER - I'M SINGLE..ISIKILIZE NA UIDOWNLOAD HAPA

0 comments

Hii ni ngoma iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kutoka kwa director mkali wa Bongo NISHER. jApokuwa anafanya kazi ya kaproduce videos pia mkali huyu ni mwanamuziki, sikia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la I'M SINGLE Hapa

Soma zaidi Hapa »

WIMBO MPYA WA SHETTA Ft RICH MAVOKO - SIKILIZA NA DOWNLOAD HAPA

0 comments


Ni brand new track kutoka kwa Shetta "The Don", this time analalamika na SINA IMANI...Shetta ambae anafanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya hapa [Bongo] Tanzania na nje kwa ujumla, ambapo hadi sasa anatamba na baadhi ya ngoma zake ikiwemo Mdananda, Nidanganye ft. Diamond na Bonge La Bwana akiwa na Linah... has just dropped an HIT.... Sina Imani, "Nakupenda sana ila usilete Ukimwi nyumbani...


Soma zaidi Hapa »

WEMA AMFANYIA MBWA SHOPPING YA MILIONI 6....SOMA HAPA

0 comments
Na Imelda Mtema
KWA wale wenye hali ngumu kimaisha wataishia kusema; ni kufuru iliyoje kwani staa wa filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu hivi karibuni amewafanyia mbwa wake wawili ‘shopping’ iliyogharimu dola 4,000 za Kimarekani (zaidi ya Sh. milioni 6.5 za madafu).
Sehemu ya shopping kwa mbwa wa Wema Sepetu.
Wema aliteketeza kiasi hicho cha fedha kwa kuwanunulia mbwa hao pafyumu, viatu na nguo, alivyoagiza kutoka nchini China, lengo likiwa ni kuhakikisha wanaishi katika mazingira mazuri.
Viatu kwa ajili ya mbwa wa Wema.
Akizungumzia ‘shopping’ hiyo nyumbani kwake Kijitonyama, jijini Dar, Wema alisema: “Kiukweli nawapenda sana hawa mbwa, ukinipasua roho yangu utawakuta ndiyo maana nataka wavae na kunukia vizuri, kinyume chake siwezi kuwa na amani.
Wema Sepetu.
“Najua watu wanaweza kushangazwa na kitendo cha mimi kutumia kiasi hicho cha fedha lakini sioni kama ni tatizo kwani ni kitu ambacho kinanipa furaha katika maisha yangu.”
Mmoja wa Mbwa wa Wema Sepetu.
Mbwa wa staa huyo aliowapa majina ya Van na Gucc wamekuwa ni gumzo kutokana na jinsi anavyowahudumia huku akiajiri watu maalumu wa kuhakikisha wanavaa, kula na kulala pazuri.



Soma zaidi Hapa »

NEW SONG!! PETER MSECHU ft JOH MAKINI - SIKILIZA NA UIDOWNLOAD HAPA

0 comments

Baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye msanii Peter Msechu aamua kutoa wimbo wake mpya alomshirikisha mwamba wa kaskazini Joh Makiniijulikanayo kwa jina la 'KUMBE'.....Isikilize na udownload ngoma hii hapa sasa

Soma zaidi Hapa »

TAZAMA BEHIND THE SCENE YA VIDEO YA SHAA- LAVA LAVA HAPA

0 comments





Soma zaidi Hapa »

LADY JAY DEE AFUNGUKA : "SIJAONA VIDEO QUEN HAPA TANZANIA"

0 comments
 
Let’s accept this fact kwamba Muziki wa Bongoflava umetengeza ajira kwa vijana wengi sana Tanzania. Siku hizi ukitokezea kwenye Video ya msanii unastahili kulipwa kiasi cha pesa kwa mchango wako.
Video Queen wanalipwa pesa nyingi ulaya kulinganisha na Tanzania labda inawezekana ni kutokana na kutokuwepo kwa ukomavu wa tasnia yenyewe.
Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ normally known as Commando Jyde analiona suala la malipo ya mkwanja mrefu kwenye nafasi ya kuwa video queen halipo kabisa Tanzania.

“Suala la kuwa video queen na kulipwa hela nyingi kwa Tanzania halipo. Labda mtu useme ameniomba nitokee kwenye video yake kama kumsapoti, lakini sio kusema kwa ajili ya malipo; ni nani anaweza kunilipa kwangu mimi kutokea kwenye video yake na atanilipa bei gani? Sio kwamba nina hela nyingi, lakini kipato chetu sisi ni kidogo nitakuwa na muonea hata huyo mtu ambae nitaanza kumchaji hela yake kwakuwa nimetokea kwenye video yake”. Lady Jaydee told Bk
Lady Jaydee who’s also called queen wa Bongoflava Tanzania kwasasa anajiandaa kufanya Video Premier party leo itakayo fanyika ukumbi wa Nyumbani Launge ikiwa ni siku chache baada ya kuitambulisha single yake mpya iitwayo Joto Hasira feat Prof Jay.
Credits : Baab Kubwa Magazine

Soma zaidi Hapa »

HEMED AANZISHA BIASHARA YA KUTENGENEZA NGUO ZA NDANI ZA KIKE, SOMA ZAIDI HAPA

0 comments
 
Msanii wa Bongofleva/Bongomovie anayependa misifa hapa Tanzania anayejulikana kwa jina la Hemed Suleiman aka PHD, amefunguka alipofanya mahojiano na mtandao wa Kenyan Daily post kuwa yupo kimya kwa muda kutokana na kuwa bize na kazi zake ambazo ni za movie zake anazoandaa mwenyewe sasa, vilevile habari ambazo ni za kusuprise watu zaidi amefunguka akisema yuko mbioni kuachia mzigo SOKONI, MZIGO HUO NI WA NGUO ZA NDANI ZA KINA DADA ambazo amezitengeneza yeye mwenyewe.......ukiacha nguo za ndani za kina dada pia atakua anauza T shirts, makoti yote hayo ikiwa ni mzigo wake anaoundaa kwa sasa. Big up hemed.  Kina dada jiandaeni kununua Underwear za PHD

Credits:The Kenyan DAILY POST

Soma zaidi Hapa »
Copyright © 2013. ArtAfropixels Media.com - All Rights Reserved
Customized by: IT XPERTTZ ONE | Powered by: BS
Designed by: Tilabs