KATIKA PICHA: OBAMA AKIREJEA WHITE HOUSE BAADA YA USHINDI....TAZAMA PICHA ZAIDI HAPA


RAIS Barack Obama aliungana na mkewe, Michelle, na binti zake Sasha
na Malia, kurejea ikulu huko Washington DC muda mfupi tu baada ya kutoa
hotuba ya ushindi wake ambapo amesisitiza kwamba “mambo mema zaidi bado
yanakuja”.
Aliongeza kwamba: “Amesikiliza na kujifunza mengi kutoka kwa Wamarekani wakati wa kampeni .”
Aliongeza kwamba: “Amesikiliza na kujifunza mengi kutoka kwa Wamarekani wakati wa kampeni .”
(PICHA KWA HISANI YA : AP, AFP/GETTY IMAGES NA REUTERS)
0 comments:
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII