AJIRA MPYA YA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI MWAKA 2012/13


 
Walimu wote waliopewa ajira ya Ualimu Serikalini ambao majina yao yametangazwa katika tovuti za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI, wanatakiwa kuripoti tarehe 01 Machi 2013 kwenye Ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri walikopangiwa kwa ajili yakupangiwa Vituo vya kazi. HAKUNA MABADILIKO YA VITUO VYA KAZI YATAKAYOFANYWA. Mwalimu anatakiwa kwenda na vyeti vyake halisi vya taaluma na cheti cha kuzaliwa pamoja na nakala zake. Mwalimu ambaye hataripoti ifikapo tarehe 9 Machi 2013 atapoteza nafasi hiyo.

NB: WALIMU WALIOKWISHA AJIRIWA WARUDI KWA WAAJIRI WAO

                 BOFYA HAPA CHINI KUSOMA MAJINA YA WALIMU WALIOAJIRIWA

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

1 comment:

  1. With the Νew Yеar quіckly аpрroaching, many people are setting
    thеir sights tоwards total phуѕical fіtness.
    Тгaining ωіth intensity dοеs not mеаn tгаining foolіshly; you muѕt alωaуs trаin within your lіmits bу using
    an apρrοpriate reѕiѕtanсе аnd exercіses
    that уou are cаpable οf dоing. Dοwnlοad
    Roѕie's free report 5 Simple Steps to Fat Loss and start losing weight today.

    Here is my website :: psih.org

    ReplyDelete

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII

Copyright © 2013. ArtAfropixels Media.com - All Rights Reserved
Customized by: IT XPERTTZ ONE | Powered by: BS
Designed by: Tilabs