HUU NDIO UJUMBE WA KICHOCHEZI WA UAMSHO UNAOMHUSU MUFTI MKUU.....SOMA WALICHOKIANDIKA HAPA
Huo ndio ujumbe ulioandikwa na 
jumuiya ya uamsho zanzibar, ukiwa na lugha za kichochezi dhidi ya 
ukristu. Kutokana na ujumbe huo kuna maneno yanayowaita wakristu hasa wa
 dini ya katoliki kua na makafiri na Sheikh Simba kaungana na makafiri 
yani wakristu na kuuacha uislam. Mimi nikiwa kama admia wa 
Bongoclantz.com nimesikitishwa na maneno hayo ukizingatia ya kua kila 
siku tunapiga kelele kuhusu amani  na huku kuna watu kama hawa 
wanaochochea uvunjifu wa amana katika nchi yetu. kilichonisikitisha ni 
kua kuna baadhi ya watanzania waliochangia post hiyo kutoa maoni 
yanayodhihilisha kua endapo siku itatokea vita kati ya dini hizi mbili 
yuo tayari kumkata mtu wa dini tofauti na yake mapanga na kufa. 
Nashindwa kuelewa serikali ipo wapi kuifunga account hii?
SOURCE:      BongoClantz
 
 
 
 

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII