Showing posts with label gossip. Show all posts

TAZAMA PICHA ZAIDI YA 15 ZA MAPOKEZI YA ZITTO HUKO KIGOMA MUDA MFUPI ULIOPITA

0 comments

Mbunge wa Kigoma kaskani Mh Zitto Kabwe akisalimiana na wakazi wa Kigoma mara baada ya Kuwasili kigoma asubuhi ambapoa wakazi wa kigoma wamejitokeza kwa wingi kumpokea Mbunge wao
 Zitto Kabwe akiwa katika gari la wazi mara baada ya kutua kigoma asubuhii ambapo amepata mapokezi ya kishindo

wafuasi wa Zitto kabwe wakiwa katika maandamano..
 
 
-MATUKIO NA MICHAP

Soma zaidi Hapa »

BIG SKENDO : LULU NA YOUNG D WABAMBWA WAKIFANYA MAPENZI KWENYE GARI

1 comments
Elizabeth Michael 'LULU'.
Jana kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha Clouds FM chini ya bwana Sudi Brown ama Gossip Cop kulikuwa na fununu kali iliyokuwa inamuhusu mwanadada wa Bongo Movies na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Young D 'Young Dar es Salaam' kama mwenyewe anavyojiita baada ya wawili hao kukutwa kwenye gari wakifanya lile tendo linaloruhusiwa kufanywa mara baada ya mdada na mkaka kufunga ndoa.
                                                                                              Young D

Kwa mujibu wa Sudi Brown 'Gossip Cop' wawili hao walikutwa maeneo ya Mbezi Beach ndani ya gari aina ya Hyundai ya mwanadada Lulu na polisi wa doria wakivunja amri hiyo iliyokatazwa na vitabu vyote vitakatifu kwa maana ya biblia, Quran na vitabu vingine vya dini ulimwenguni.

Habari zainasema baada ya wawili hao kukutwa eneo hilo na polisi walipelekwa pembeni gizani na kuongea na Polisi kabla ya wao kutokomea wasipojulikana na gari hilo.

Alipopigiwa simu mwanadada LULU alipokea na kukata muda mfupi na baadaye Young D alipopigiwa simu alitoa majiu ya utata kama alivyoongea mwenyewe kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha Clouds Fm.

Soma zaidi Hapa »

RAY NDIO KINARA WA RUSHWA ZA NGONO KWA WASANII, NORA AFUNGUKA....SOMA ZAIDI

0 comments


Muigizaji wa kike aliyefanya vizuri kupitia kundi la Kaole Sanaa Group, Nuru Nassoro aka Nora amedai kuwa amekuwa akifanyiwa fitina na muigizaji mwenzake Vicent Kigosi aka Ray kwa kuwa aliwahi kumtaka kimapenzi akamkataa.
 
Nora amefunguka kupitia kipindi cha Filamonata cha 100.5 Times Fm na kudai kuwa Ray amekuwa akimbania hata kwenye baadhi ya makampuni ambayo anapeleka kazi zake.

Mpaka kwenye kampuni ambayo nimepeleka kazi nimeshawahi kusikia wanasema, wakaniahidi sana mpaka nikawakubalia walichokuwa wanataka wao. Lakini yeye (Ray) alitanguliza movies zake, akasema ana movie zake sijui kitu gani..” amelalamika Nora.

Ameeleza kuwa Ray amewahi kumbania kufanya kazi na marehemu Kanumba, na hata Mtitu sababu ikiwa ile ile kumkataa kimapenzi. 

“Alishawahi..kitu ambacho kwangu kimeshawahi, sasa mimi sijui yeye ni alivyo au kwangu..ila mimi alinibania kwa sababu nilikuwa simtaki, akaniharibia kwa Mtitu. Kanumba kipindi kile alikuwa anamsikiliza sana Ray, akamwambia asifanye kazi na mimi. Hata Kanumba alikuwa ameelewana na mimi Ray akamwambia ‘achana naye’.” Nora ameiambia Filamonata.

Amedai kuwa wanaume wengi katika tasnia ya filamu wanamekuwa wanawanyanyasa wanawake kwa kuwata kimapenzi, na kwamba inakuwa ni mambo ya ndani ambayo sio rahisi kufahamika.

“Ikitokea hivyo inakuwa ni mambo ya ndani sana kiasi kwamba hata mwenzako anakwambia kwamba utaona kama utaendelea kuwa flani.” Nora amefunguka.

Nora amedai kuwa ana kazi nyingi lakini ameshindwa kuziingiza sokoni kwa sababu ya kubaniwa.Hata hivyo Nuru Nassoro aka Nora amesema ameshasamehe na anaendelea na kazi zake.

Soma zaidi Hapa »

TAZAMA PICHA ZAIDI YA 50 ZA FIESTA DAR 2013....WASANII WALIKAMUA VIBAYA

0 comments



Linah akikatika sambamba na Amin ndani ya Serengeti Fiesta 2013.
Rachel akilishambulia jukwaa la Fiesta 2013.
Peter Msechu akifanya vitu vyake stejini.
Snura 'Mamaa Majanga' akionyesha mbwembwe zake jukwaani.
Mwanadada Ray C akiwapa raha mashabiki wa Fiesta 2013 waliokuwa 'wamemmis' kwa muda mrefu.
Msanii Linah akifanya yake jukwaani.
Umati wa watu ukifuatilia shoo ya Fiesta 2013.
Mwanadada akitoa burudani kwa maelfu ya mashabiki waliohudhuria Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 ndani ya Leaders Club.
Msanii Menina akinyanyuliwa juu na wacheza shoo wake.
Wasanii mbalimbali wakiupamba usiku wa Serengeti Fiesta ndani ya Viwanja vya LeadERS


Angalia baadhi ya picha jinsi moto ulivyowaka Serengeti Fiesta Dar es salaam Jana katika Viwanja vya Leaders























































Linah akikatika sambamba na Amin ndani ya Serengeti Fiesta 2013.
Rachel akilishambulia jukwaa la Fiesta 2013.
Peter Msechu akifanya vitu vyake stejini.
Snura 'Mamaa Majanga' akionyesha mbwembwe zake jukwaani.
Mwanadada Ray C akiwapa raha mashabiki wa Fiesta 2013 waliokuwa 'wamemmis' kwa muda mrefu.
Msanii Linah akifanya yake jukwaani.
Umati wa watu ukifuatilia shoo ya Fiesta 2013.
Mwanadada akitoa burudani kwa maelfu ya mashabiki waliohudhuria Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 ndani ya Leaders Club.
Msanii Menina akinyanyuliwa juu na wacheza shoo wake.
Wasanii mbalimbali wakiupamba usiku wa Serengeti Fiesta ndani ya Viwanja vya Leaders.

Soma zaidi Hapa »
Copyright © 2013. ArtAfropixels Media.com - All Rights Reserved
Customized by: IT XPERTTZ ONE | Powered by: BS
Designed by: Tilabs