Showing posts with label skendo. Show all posts

HUDDAH MONROE AZIDI KUCHAFUA HALI YA HEWA, ATUPIA PICHA ZA UTUPU KIBAO, TAZAMA HAPA

0 comments

KAMA UNAJIWEZA UNAWEZA KUTAZAMA PICHA ZAIDI HAPA

ONYO : NI HATARI KWA AFYA YAKO==>>BOFYA HAPA

Soma zaidi Hapa »

"NINGEZAA NA DIAMOND ANGENIHARIBIA WATOTO MAANA ANA SURA MBAYA NA DOMO LA AJABU" KAULI YA PENNY!!! MAKUUBWAAA

1 comments
 

Penny  ambaye  ni mpenzi  wa  zamani  wa  Naseeb Abdul "Diamond"   haonekani  kujutia  kitendo  cha  kumwagana    na  msanii  huyo  na  badala  yake  sasa  ameanza  kuzipa  uzito  hoja  za  kumpiga  chini  Diamond  ambaye  walidumu  naye  kimapenzi  kwa  takribani  mwaka  mmoja.... 


Kwa mujibu wa watu wa karibu  na  Penny, kitendo  cha  Diamond  kumpandisha  jukwaani  Wema  Sepetu  pale Leaders  Club  kilipata  kila  aina  ya  laana  toka  kwa  mama  mzazi  wa  Diamond  kwani  hakuridhia  jambo  hilo.....

"Mama  alilalamika  sana  kuhusu  Diamond  kumpandisha  Wema  pale  leaders  Club, kimsingi  ni  kwamba  hataki  kabisa  uhusiano  kati  ya  Diamond  na  Wema  Sepetu"...Kilisema  chanzo  kimoja ambacho  ni  rafiki  damu  na  familia  hiyo.

Wakati hayo  yakijitokeza  ndani ya familia ya Diamond, kwa upande wa Wema, mama  yake  pia  anadaiwa  kulalamikia  kitendo  cha  mwanaye  kutumika  kila  mara  kumbusti  Diamond  pale  umaarufu  wake  unaposhuka...!

"Mama  Wema  naye  analalamika  mwanaye  kutumika  kama  daraja  la  kuwavusha  watu  kwenye  umaarufu  halafu  wakishafanikiwa  wanamgeuka  na  kumdhalilisha, kifupi  ni  kwamba  hataki  kabisa  kusikia  mahusiano  ya  Wema  na  Diamond"  Kilifunguka  chanzo  hicho.

Aidha  imeelezwa  kuwa  Diamond  amekuwa  akimpgia  simu  Penny  mara  kwa  mara  kumuomba  wayamalize  lakini  Penny amekuwa  akimjibu  kwa  kifupi  kuwa  "Nimekuachia  Wema  Wako"
 Taarifa  nyingine  toka  vyanzo  vya  kuaminika  zinaeleza  kuwa  Penny  amekuwa  akijisifu  kuachana  na  Diamond  kwa  hoja  kuu  tatu:
 
Moja: Kuondokana  na  skendo  zisizo  na  faida  kwake.
Pili: Kupunguza  malalamiko  toka  kwa  familia  yake.
 
Tatu: Penny  aliingia  katika  mahusiano  na  Diamond  si  kwa  ajili  ya  mapenzi, bali  kulipa  kisasi kwa  Wema  ambaye  aliwahi  kumchukulia  mpenzi  wake.

"Hata  kutoa  mimba  ya  Diamond  amekuwa  akisema  kwamba  kama  angezaa  naye  watoto  wake  wangekuwa  na  sura  mbaya  na  midomo  ya  ajabu".Kilimalizia  chanzo  hicho

Soma zaidi Hapa »

MMH!! SOMA HIZI HEKAYA ZA DIAMOND NA WEMA, MIE BINAFSI SIWAELEWI ELEWI....BOFYA HAPA

0 comments


HUKU mchumba’ke, Penniel Mungilwa ‘Penny’ akifungasha virago kurejea kwao, mzee mzima Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametangaza kumuoa Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’(kushoto) na Penniel Mungilwa ‘Penny’ wakiongea jambo enzi za mapenzi yao.
Ishu hiyo ilijiri ndani ya Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar ambapo mkali huyo wa Bongo Fleva alikuwa akikamua kwenye…
Stori: Shakoor Jongo na Imelda Mtema
HUKU mchumba’ke, Penniel Mungilwa ‘Penny’ akifungasha virago kurejea kwao, mzee mzima Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ametangaza kumuoa Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’(kushoto) na Penniel Mungilwa ‘Penny’ wakiongea jambo enzi za mapenzi yao.
Ishu hiyo ilijiri ndani ya Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar ambapo mkali huyo wa Bongo Fleva alikuwa akikamua kwenye sherehe ya Krismasi aliyoiandaa mwenyewe.
Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ baada ya kupanda jukwaani katika viwanja vya leaders.
TANGAZO LA AWALI
Awali kabla ya kufikia eneo la kutangaza kuoana, Diamond aliweka wazi jukwaani kwamba yeye na Wema wamerudiana.
Diamond Platnumz akiongea jambo baada ya Wema Isaac Sepetu ‘Madam’  kupanda jukwaani.
MTIRIRIKO ULIVYOKUWA
Diamond, akiwa ameshika kipaza sauti alikatisha kuimba na kuwauliza mashabiki wake, hasa watoto waliohudhuria kwa wingi tamasha hilo, je, wanataka kumuona shemeji yao?
“Itakuwa si vizuri mkaondoka bila kumuona shemeji yenu, nikuleteeni mumuone?” aliuliza  Diamond. Swali hilohilo akalirudia tena ambapo lilipokelewa kwa shangwe huku mashabiki wakilitaja jina la Wema.
                                        Diamond Platnumz na Wema Isaac Sepetu wakijiachia.
WEMA APANDISHWA JUKWAANI
Kufuatia kelele za mashabiki, Diamond alimuomba Disco Joker (DJ) wake amuwekee Wimbo wa Ukimwona ambao ulisindikiza ujio wa Wema jukwaani akifuatana na wapambe wa Diamond.
“DJ acha huo, nipigie Wimbo wa Ukimwona watu wangu wa nguvu wamwone shemeji yao kwani tangu nilivyokwenda naye China walikuwa wakisumbuliwa na maneno tofautitofauti kutoka kwenye mitandao ya kijamii,” alisikika Diamond.
Diamond, akiwa ameshika kipaza sauti akiima Wimbo wa Ukimwona na Wema akiwa amemkumatia.
JUKWAA SASA
Hali haikuwa ya kawaida jukwaani kwani kilichofuata hapo ni Wema kuonesha kwa vitendo mambo yaliyoashiria kuwa, wawili hao sasa ni mwendo mdundo.
Wema alishuhudiwa akimzungushia mikono Diamond kwenye kiuno jambo ambalo liliwafanya baadhi ya mashabiki wa mastaa hao kutoa machozi ya furaha kuona penzi la wawili hao limerudi upya, wengine walimwambia Diamond amuoe Wema.
“Diamond muoe Wema, mnapendezana sana,” walisikika mashabiki.
Wema Isaac Sepetu ‘Madam’akimuaga Diamond Platnumz kwa kumkumatia.
MAWIFI WADAI KUHARIBIWA SIKU NA KAKA YAO
Hata hivyo, kitendo cha Diamond kumwita Wema jukwaani kilionekana kuharibu furaha ya sikukuu kwa ndugu zake kwani bila ya kuuma midomo dada zake staa huyo wakiongozwa na Esma Khan walinuna na kuanza kuondoka.
“Yaani siku yangu imeshaharibika, nilikuja nina furaha sasa imepotea, tuondokeni ndugu zanguni,” alisema Esma akiwaambia Mwanaisha Abdul ‘Queen Darleen’ na Halima Haroun ‘Kimwana’.

Diamond Platnumz na Penny wakiwa pamoja enzi za mapenzi yao.
MAMA DIAMOND ASHANGAA
Kitendo cha ndugu hao kukasirika hakikupokelewa vizuri na bi mkubwa wao yaani mama Diamond, Sanura Kassim ‘Sandra’ ambaye aliwajia juu akiwashangaa.
“Wajinga nini? Sasa walitaka Diamond… (tusi) wao, mtu ameshaamua kupenda wamwache, mi’ mwenyewe nimeshajifunza, sitaki kuingilia penzi lake,” alisema mwanamke huyo ambaye mjini anazungukia usafiri aina ya Altezza.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’  na Penniel Mungilwa ‘Penny’.
Baada ya shoo hiyo iliyomalizika saa moja usiku, paparazi wetu alimfuata Diamond akiwa amesimama na Wema na kuwauliza kama kweli wana nia ya kufunga ndoa.
“Hilo mwana mbona lipo wazi, nataka kumuoa staa na nataka kuzaa na staa,” alisema Diamond huku Wema akiwa hapingi.

MAMA WEMA ATANGAZA VITA  NA DIAMOND
Wakati Dimaond akitambia ndoa na Wema, siku hiyohiyo ya Krismasi, mama wa Wema, Mariam Sepetu alidaiwa kutangaza vita na mwanamuziki huyo baada ya kusikia tetesi kuwa amerudiana na mwanaye.
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa mama Wema (jina tunalo) mama wa staa huyo alichukizwa na kitendo cha Diamond kurudiana na mwanaye kwani anaamini anamchezea tu.
Mama wa Wema, Mariam Sepetu.
Rafiki huyo alizidi kudai kuwa, taarifa hizo zimemuweka  mama huyo kwenye wakati mgumu na kudai kuwa popote atakapokutana na mwanamziki huyo atampopoa mawe au machungwa hata ikiwa siku ya ndoa yao.
“Mama Wema amesema hampendi Diamond, popote atakapomuona itakuwa vita ya wawili, kama kuna jiwe atamrushia, hata machungwa kama yapo yatakuwa halali yake,” alisema rafiki huyo.

WOSIA WA MZEE SEPETU
Mpashaji huyo wetu alizidi kufunguka kuwa, mama Wema ana wosia mkononi ambao aliuacha marehemu mumewe, mzee Isaac Abraham Sepetu.
Alisema katika wosia huo, mzee huyo alisema hataki Diamond amuoe Wema na kama mrembo huyo atakiuka  wosia huo atapatwa na laana mbaya katika maisha yake.
“Kinachomuumiza zaidi mama Wema ni huo wosia, mzee Sepetu alisema hataki mtoto wake aolewe na Diamond, kama atakataa kuna kitu kibaya kitamkuta katika maisha yake,” alisema rafiki huyo.

MAMA WEMA ASAKWA
Baada ya kupata habari hizo, gazeti hili lilimvutia waya mama Wema ili kuweza kuthibitisha madai hayo ambapo alisema kuwa, hayuko tayari kuzungumzia jambo hilo kwa wakati huo mpaka atapoamua akisisitiza muda si mrefu.
“Jamani nina mambo mengi sana ya kufanya na sijatulia kabisa siko tayari kuzungumza chochote kwa sasa

                                                                             SOURCE : GPL

Soma zaidi Hapa »

DUUH!! HII SKENDO WEMA ATACHOMOKEA WAPI? AAMUA KUTOKA NA DOGODOGO HUYU, SOMA NA SIKILIZA UTHIBITISHO HAPA

0 comments

Mrembo anayekimbiza katika tasnia ya Bongomovies Wema Sepetu amekumbwa na skendo nyingine matata kama kawaida yake, baada ya Diamond kutoeleweka sasa aamua kutoka na msanii wa Bongofleva ambaye ni mdogo saaana kiumri kwake ajulikanaye kwa jina la Mirror ambaye alihit sana na ngoma yake ya MY ONE AND ONLY. Akichokonolewa gossip cop leo Mirror aliruka vihunzi tuhuma hizo lakini rafiki yake wa karibu bila kujua kuwa gossip cop anamtega alimwaga mkanda mzima hapa,
 

                                                                 SIKILIZA MWENYEWE HAPA


Soma zaidi Hapa »

MODEL MAARUFU WA TANZANIA AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA, HII SASA NI HATARI!! NI JACK CLIFF, SOMA ZAIDI HAPA

0 comments




Jackie Cliff ambaye ni video queen wa Bongo anadaiwa kukamatwa na dawa za kulevya  nchini China. Star mmoja nchini aliyekataa kutajwa jina lake aliutonya mtandao wa  swahiliworldplanet  bila kufafanua zaidi kwa kusema kuwa Jackie amekamatwa na madawa ya kulevya China:
 
 "Jackie Cliff amekamatwa na unga China". alisema star huyo huku akitutumia na picha za mwanamke aliyefungwa kitambaa usoni baada ya kukamatwa na dawa hizo na mwanamke huyo anadaiwa ni Jackie Cliff. Angalia picha hizo hapo chini..........
 
Hata hivyo baadhi ya mitandao jana  iliweka habari za mwanamke mmoja wa kitanzania kukamatwa na dawa za kulevya huko china lakini bado habari hizo hazikubainisha mwanamke huyo ni nani na usiku huu ndiyo ikasemekana ni Jackie Cliff. Habari hiyo inasomek  kama  ifuatavyo:
 
"Mwanamke wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na kilo 1.1 za dawa za kulevya aina ya heroin huko Macao. Dawa hizo zilikutwa tumboni mwake baada ya kushtukiwa na kufanyiwa X-ray ambapo alikutwa na jumla ya vidonge 66 vyenye thamani ya dola za Kimarekani 137,720.
 
"Mwanamke huyo alikuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao Jumanne iliyopita. Aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni mji wa jimbo la Guangdong huko Chima.
 
"Pichani ni mwanamke huyo wa Kitanzania (akiwa amefunikwa uso) aliyekamatwa na kilo 1.1 za heroin huko Macau. Hapo amepigwa picha na vidonge vyake kwenye press conference huko Macau, Disemba 19, 2013."




CREDIT : LE MUTUZ BLOG

Soma zaidi Hapa »

MAKUBWA!!!! WAKENYA MAARUFU WAAMUA KUCHEZA MOVIE YA 'NGONO'...TAZAMA PICHA YA BEHIND THE SCENE HAPA

0 comments
 
The controversial and highly hyped House of Lungula is about to hit the silver screens. If you have not heard about the film, it’s about the weird s3x#@l habits of Kenyans packaged with some humor.

Some of the actorand actresses acting in the controversial film which will rock the industry include TPF judge Ian Mbugua, former BBA contestant Sheila Kwamboka, KTN’s Nice Githinji, Citizen TV’s Sarah Hassan, Liz Njagah among others.

Below are behind the scene photos of the making of the film:

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 


Soma zaidi Hapa »

DIAMOND ASEMA AMETOKA NA LULU, LULU AMCHARUKIA NA KUMPA ZA USO!!! SOMA STORY NZIMA HAPA

0 comments
Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Stori:  Mayasa Mariwata
STAA kiwango katika tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekanusha uvumi uliozagaa mitaani kuhusu kutoka kimapenzi na mbabe wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.

Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Imekuwepo minong’ono ya muda mrefu kitaani kuwa, Diamond analilia penzi la Lulu lakini Diamond au Sukari ya Warembo alipoulizwa kuhusu hilo, alisema siyo kwamba analilia tu bali waliwahi kutoka (haijulikani kwenda wapi) naye, madai yaliyotupiliwa mbali na Lulu.
MADAI YA AWALI
Habari zilizotua katika meza ya Risasi Mchanganyiko zinasema kwamba, wawili hao wanafanya kazi za kisanii pamoja (haikuwekwa wazi ni kazi gani kati ya filamu au muziki) lakini tatizo lililopo kati yao ni Diamond kumtaka Lulu.
Chanzo kilichoomba hifadhi ya jina lake, kilifunguka: “Diamond anashindwa kuelewa, tatizo yeye kila mwanamke anataka kutoka naye. Mwenzake anajua yupo kazini, yeye anataka penzi, ndiyo mzozo uliopo kati yao.”

Wema Sepetu.
KAZI KWA DIAMOND
Paparazi wetu alimvutia waya Diamond ili kutaka kupata ufafanuzi kwa upande wake, ambapo aliposomewa maelezo yote alicheka sana kisha akasema: “Nililie penzi la Lulu? Acheni hizo... ngoja nikuambie kitu, siyo kulilia, mimi nimeshawahi kutoka naye. Nilitembea naye kishkaji tu kisha kila mmoja akaendelea na yake.

“Hayo mambo yalishapita na sikutaka kuyaongelea lakini kwa sababu naona kama yanakuzwa, ndiyo maana nimeamua kuweka wazi. Kwa sasa tunaheshimiana kama kaka na dada. Kuna ugumu gani mimi kuwa naye wakati nimeshampitia?”
Risasi: Unasema kweli Diamond?
Diamond: Wa asilimia mia moja.

Penny.
Risasi: Una ushahidi gani?
Diamond: Watu wanaojua hii ishu ni wawili tu; Wema (Sepetu) na Penny (Penniel Mungilwa). Niliwaeleza kwa uwazi kabisa hawa ili tusielewane vibaya. Kama huamini waulize. Hawa ndiyo niliowapa siri hii.
Paparazi wetu alijaribu kuwatafuta Penny na Wema kupitia simu zao za mkononi lakini hawakupokea.

TURUDI KWA LULU SASA
Akizungumza kwa sauti ya kujiamini, Lulu alimshangaa Diamond na kusema kwamba, si kutoka naye tu bali hana hata kazi anayofanya naye pamoja.

“Nawashangaa sana eti mimi nifanye kazi na Diamond, kazi gani sasa wakati mimi na yeye tupo kwenye fani tofauti? Muziki na  filamu wapi na wapi? Kifupi hayo madai hayana ukweli wowote na kila mtu yupo na yake,” alisema Lulu na kuongeza:
 
Lulu.
“Kwanza mimi siwezi kutoka na Diamond... levo zetu ni tofauti kabisa, wala hazilingani. Mimi nilianza kutoka kabla yake, nimeanza kujulikana toka kitambo hicho nina miaka mitano sijui hata kujifuta kamasi vizuri.... hakuna ukweli wowote.”
TUJIKUMBUSHE
Diamond amekuwa akihusishwa kutoka kimapenzi na mastaa mbalimbali, huku madai hayo yeye mwenyewe akiyakubali, jambo lililosababisha aitwe Sukari ya Warembo.

Mbali na orodha ndefu aliyotoka nayo Diamond, kinachovuta hisia za wengi ni uhusiano wake wa sasa, ambapo haijulikana kama yupo na Penny, Wema au wote kwa wakati mmoja!
SOURCE : GPL

Soma zaidi Hapa »

UNAMAONI GANI PALE MTU MAARUFU KAMA HUYU ANAPOAMUA KUPIGA PICHA KAMA HII NA KUWEKA MTANDAONI???

2 comments



Ustaa kweli kazi baada ya kuona Media zimepunguza kumuongea mrembo huyu maarufu Hudda Monroe kutoka kenya jana Usiku kapost picha ya tako lake akiwatakiwa watu Good nite....MMhhh Unashangaza jamani ...MAADILI YAKO WAPI??

Soma zaidi Hapa »

FUNGA MWAKA YA WEMA NDIO HII, TAZAMA PICHA ALOTUPIA MTANDAONI

0 comments


 Wema Sepetu akiwa ameacha mgongo wake wazi.
Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu hivi karibuni ameachia picha tata kwenye akaunti yake ya Mtandao wa Instagram zikimuonesha akiwa ameacha mgongo wazi, jambo lililotafsiriwa na wengi kuwa ameamua kufunga mwaka huu kwa staili hiyo ya kuacha mgongo nje,

Katika picha hizo, Wema anaonekana kujichora tatoo kibao kuanzia shingoni na kumfanya aonekane tofauti na alivyozoeleka jambo lililofanya wengine wamsifie huku wengine wakimponda mbaya.
“Sasa Wema kujichora hivyo mgongoni ndiyo nini? Bora ungeuacha mgongo wako kama ulivyokuwa zamani,” alichangia mmoja wa wadau na kuungwa mkono na wenzake.
Showbiz ilipomvutia ‘waya’ Wema ili kumuuliza kulikoni ameamua kupiga picha za kuuanika mgongo wake, simu yake ilikuwa ikiita bila kupokelewa

Soma zaidi Hapa »

MSANII WA TIP TOP AKAMATWA NA GUNIA 40 ZA BANGI, SOMA HAPA

0 comments

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkUOc3ECvlY7tKaMmoHDheAe9G0szKFYWAEgIbuYxkcds6BYWkmnPEAC9pDTVsJGElWruD6-HpsA6bGsWIHszFqbJXmCdUYlsdGBlkc6codgJUPuzTlV1JOwJLZsnfJiNRqxVtkLE-baI/s640/tip+top+1.jpgMsanii anaejulikana kwa jina la deso hivi karibuni amekamatwa na gunia arobaini za bangi na mpaka sasa yupo mikononi mwa police katika kituo cha police kibaha na leo jumatatu anategemewa kufikishwa mahakani kujibu mashtaka hayo. akiongea na blog hii chanzo chetu cha habari kimesema mtuhumiwa alikutwa na vitu hivyo kwenye gari alipokuwa anajaribu kuzisafirisha kupeleka mkoani tanga

Soma zaidi Hapa »

KAJALA ADAIWA KUIBA MME WA MTU, TAZAMA PICHA NA SIKILIZA SKENDO NZIMA HAPA

0 comments



http://api.ning.com/files/7TcBzbi1eXrferTt9i*NflebXSIAF7T7j5c0mSkqcOcodnwefcM*dOpPnax12V0XiSu4dclczRKTTjnXF5dzNpw3KQs9RhZk/kajala.jpg


Soma zaidi Hapa »
Copyright © 2013. ArtAfropixels Media.com - All Rights Reserved
Customized by: IT XPERTTZ ONE | Powered by: BS
Designed by: Tilabs