Soma zaidi Hapa »
Showing posts with label mchanganyiko. Show all posts
Soma zaidi Hapa »
TAZAMA PICHA ZA MABASI YA MWENDO KASI YALIPOKUWA YAKIFANYIWA MAJARIBIO LEO MITAANI
7:21 PM 0 comments
KWA mara ya kwanza msanii wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amenaswa akiwa na mwanaume wa Kizungu anayedaiwa kuwa ndiye mchumba wake.
Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, safari za mara kwa mara za Shilole nchini Uingereza zimekuwa zikisababishwa na mchumba huyo wa Kizungu ambaye huwa anamuita kufurahia penzi lao pamoja na kumtafutia shoo mbalimbali.
“Ukweli ni kwamba Shilole ana mchumba wa Kizungu na walikutana kwenye shoo ya mara ya kwanza aliyoenda kufanya nchini Uingereza na hivi karibuni ataenda tena na amealikwa na huyo mchumba wake,” kilisema chanzo hicho.
Gazeti hili limekuwa la kwanza kunasa picha kadhaa za Shilole akiwa katika mapozi tofauti ya kimahaba na Mzungu huyo.
Baada ya chanzo hicho kumwaga ‘upupu’ huo, mapaparazi wetu walimtafuta Shilole ili aweze kufunguka ambapo bila kuumauma maneno, alikiri kuwa amepata mchumba huyo aliyemtambulisha kwa jina la Ankar.
Akizidi kumwaga data za boifrendi wake huyo, Shilole alisema awali walikutana kwenye moja ya shoo zake nchini humo ndipo urafiki ulipoota mizizi na kufikia hatua ya kuwa wapenzi.
“Kweli nina mchumba Mzungu ambaye ni raia wa Uingereza, nilipokuwa napataka nimefika, sipindui tena. Unajua muziki wangu na mauno yangu yanawavutia sana watu, siku ya kwanza aliniona kwenye shoo akanipenda ndipo tukaanzisha urafiki.
“Hivi karibuni nina safari ya kwenda nchini humo kwa mwaliko maalum alionipa, nitaenda peke yangu kwani safari nyingine zote zilizopita nilikuwa naenda na watu,” alisema Shilole.
Soma zaidi Hapa »
Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, safari za mara kwa mara za Shilole nchini Uingereza zimekuwa zikisababishwa na mchumba huyo wa Kizungu ambaye huwa anamuita kufurahia penzi lao pamoja na kumtafutia shoo mbalimbali.
“Ukweli ni kwamba Shilole ana mchumba wa Kizungu na walikutana kwenye shoo ya mara ya kwanza aliyoenda kufanya nchini Uingereza na hivi karibuni ataenda tena na amealikwa na huyo mchumba wake,” kilisema chanzo hicho.
Gazeti hili limekuwa la kwanza kunasa picha kadhaa za Shilole akiwa katika mapozi tofauti ya kimahaba na Mzungu huyo.
Baada ya chanzo hicho kumwaga ‘upupu’ huo, mapaparazi wetu walimtafuta Shilole ili aweze kufunguka ambapo bila kuumauma maneno, alikiri kuwa amepata mchumba huyo aliyemtambulisha kwa jina la Ankar.
Akizidi kumwaga data za boifrendi wake huyo, Shilole alisema awali walikutana kwenye moja ya shoo zake nchini humo ndipo urafiki ulipoota mizizi na kufikia hatua ya kuwa wapenzi.
“Kweli nina mchumba Mzungu ambaye ni raia wa Uingereza, nilipokuwa napataka nimefika, sipindui tena. Unajua muziki wangu na mauno yangu yanawavutia sana watu, siku ya kwanza aliniona kwenye shoo akanipenda ndipo tukaanzisha urafiki.
“Hivi karibuni nina safari ya kwenda nchini humo kwa mwaliko maalum alionipa, nitaenda peke yangu kwani safari nyingine zote zilizopita nilikuwa naenda na watu,” alisema Shilole.
Soma zaidi Hapa »
(Picha na JF)
Soma zaidi Hapa »
KIOJA: MCHUNGAJI AFA MAJI BAADA YA KUJARIBU KUTEMBEA JUU YA MAJI KAMA YESU, SOMA HAPA
10:16 AM 0 comments
NIGERIA.
Ilikuwa sikitisho kubwa kwa waumini baada ya mchungaji wao kusombwa na
maji baada ya kujaribu kutembea juu ya maji kama vile masihi Yesu
alivyofanya wakati wake alipokuwa duniani.
Pastor Frank Kabele mwenye umri wa miaka 35, aliwaambia waumini wake kuwa mtu mwenye imani anaweza kufanya miujiza yeyote ila tu uwe na imani. Aliwaahidi wafuasi wake kuwa atatembea juu ya maji pindi tu atakapomaliza maombi yake.
Lakini mambo yalienda ndivyo sivyo baada ya pastor huyo kujaribu kutembea katika mto mkubwa, alididimia mtoni humo na ilikuwa vigumu kwa waumini wake kumsaidia kwani maji yalikuwa na nguvu nyingi
Pastor Frank Kabele mwenye umri wa miaka 35, aliwaambia waumini wake kuwa mtu mwenye imani anaweza kufanya miujiza yeyote ila tu uwe na imani. Aliwaahidi wafuasi wake kuwa atatembea juu ya maji pindi tu atakapomaliza maombi yake.
Lakini mambo yalienda ndivyo sivyo baada ya pastor huyo kujaribu kutembea katika mto mkubwa, alididimia mtoni humo na ilikuwa vigumu kwa waumini wake kumsaidia kwani maji yalikuwa na nguvu nyingi
Soma zaidi Hapa »
VERY SAD!! MFANYABIASHARA WA KIKE AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA MAJAMBAZI KARIAKOO, TAZAMA PICHA HAPA
9:44 AM 0 comments
TUNAOMBA RADHI KWA PICHA
Mwili wa mfanyabiashara huyo ukiwa kwenye gari mara baada ya kupigwa risasi na majambazi (majira ya saa 12 Kasoro jioni)
| Damu ya Mfanyabiashara huyo ikiwa imetapakaa katika gari lake baada ya kupigwa risasi na majambazi waliompora kiasi kikubwa cha fedha na kutoweka. |
| Raia wakishangaa mwili wa mfayabiashara huo ukiondolowa na polisi |
| Askari wakiliondoa gari la mfanya biashara huyo katika eneo la tukio |
| EFD machine ikiwa katika gari la mfanyabiashara aliyepigwa risasi leo jijini Dar es Salaam |
| Sehemu ya fremu inayosemekana kuwa ni Duka la mfanyabiashara aliyepigwa Risasi Leo majira ya saa 12 jioni |
Mfanyabiashara mmoja (Jina Halikufahamika) Mwenye asili ya Asia
ameshambuliwa na majabazi (majira ya saa 12 Kasoro jioni )kwa kupigwa
risasi katika paji la uso wake na kisha majambazi hao kutoweka na mabegi
mawili yaliyoojaa fedha.
Hata hivyo haikujulikana kwa haraka ni kiasi gani cha fedha ambacho
kilikuwemo katika mabegi hayo. Wakiongea na mwandishi wetu baadhi ya
mashuhuda wa tukio walidai kuwa majambazi hao walikuwa watatu na mmoja
alikuwa na bunduki aina ya SMG.
Wakielezea tukio hilo baadhi ya wafanyabiashara wengine katika maeneo
hayo ya mtaa wa Lindi na Kongo (Kariakoo) walidai kwamba Mfanyabiashara
huyo alitoka na kufunga duka lake huku akiwa na mabegi mawili na Mashine
ya kutolea Risiti ya EFD na kuelekea katika gari lake dogo aina ya
Suzuki Carry na Ghafla walitokea watu wawili waliokuwa katika pikipiki
na mmoja wa tatu alikuwa amesimama pembeni kidogo na gari hiyo na kisha
kuelekea moja kwa moja katika gari hiyo na kumpiga risasi mfanya
biashara huyo aliyekuwa akijiandaa kuondosha gari lake.
'Niliona watu kama wanagombania begi hivi ghafla nikasikia mlio wa
risasi na kisha nikaona pikipiki mbili aina ya boxer zikija kwa kasi
kutokea upande wa mtaa wa gerezani na kisha mlio wa pili wa risasi
ulikika tena, nahisi ndio uliokuwa umemlenga yule "muhindi" na baada ya
hapo kitendo kama cha dakika mbili hivi wale jamaa wakapokezana lile
begi na kisha kupiga risasi nyingine juu basi hapo wote tukaanza kufunga
maduka yetu na wale majambazi wakatoweka kirahisiii"
Hata hivyo baadhi ya watu wamelaumu utaratibu wa wafanya biashara wengi
wa kariakoo kuhifadhi fedha nyingi katika maduka na badala yake
wamewataka wafanya biashara hao kutafuta mbinu mbadala itakayowaezesha
kuweka fedha na mali zao salama kabisa ikiwa ni pamoja na kutumia huduma
za kuhamisha fedha kwa kutumia mitandao, cheque, na hata credit card
kuliko Cash kwani imekuwa kawaida kwa mtukio haya kujirudia eleo hili la
Kariakoo.
CREDITS TO JG
Soma zaidi Hapa »
KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA, TAZAMA PICHA ZA HUYU KIJANA ANAYETESEKA NA UGONJWA WA AJABU
4:33 PM 0 comments
KIJANA Haruni Kayombo (19), mkazi wa Mbalizi, Mbeya anaishi kwa
mateso makubwa tangu mwaka 2006, baada kushikwa na ugonjwa wa ajabu
uliomuanza ghafla.
Katika mahojiano na gazeti hili akiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam, Kayombo alisema bado hajui hatima ya maisha yake kutokana na mateso anayoyapata usiku na mchana huku akitoa simulizi ya majonzi namna gonjwa hilo lilivyomtokea.
Alisema awali akiwa na umri wa miaka 11 alilazwa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya lakini baadaye wazazi wake walifariki dunia na hakupata kuwajua ndugu zake jambo ambalo anaona hakuna haja ya kuwa binadamu huku akionekana mwenye mateso makubwa.
“Sioni faida ya kuwa binadamu, niliugua kama utani, ilifika wakati nikajua kitu cha kawaida, nilishangaa kuona linazidi kuongezeka nilijua utakuwa ugonjwa wa muda mfupi, lakini nikashangaa usiku na mchana mateso yanazidi.
“Ni tatizo ambalo hata mimi mwenyewe sijui chanzo chake, lilianza kama kauvimbe ka kawaida, sikutambua mapema na sikuwa na hela kwenda kwenye kituo cha afya kwa matibabu zaidi.
“Nilijipa moyo kuwa ipo siku nitakuwa sawa lakini kwa mpaka sasa nimeshakata tamaa, sina baba wala mama, hapa kweli kuna haja ya mimi kuitwa binadamu? Sina kazi na sikubahatika kusoma ni nani atakayeokoa maisha yangu?
“Maisha haya ni Mungu tu anayeweza kuniokoa, inaniuma sana! Ningekuwa na ndugu wangeweza kunisaidia japo hata pesa ya matumizi. Eee... Mola okoa maisha yangu (analia). Napenda kuishi kama binadamu wengine lakini kwa hali hii sina amani kabisa.
“Zamani wakati tatizo linaanza nilikuwa na tabia ya kusali mara kwa mara lakini nimefika hatua ya kukata tamaa na kuona hakuna haja.
“Namuomba rais aje anitembelee ajionee mateso ninayoyapata usiku na mchana, nimepangiwa kwenda kufanyiwa operesheni India lakini sijui lini na itakuwaje!” alisimua Kayombo na kumaliza na kilio tena.
Kama utakuwa umeguswa na tatizo la Haruni Kayombo basi usisite kutoa mchango wako kwenye namba yake ya simu, mtumie kwa njia ya M-PESA ama wasiliana naye moja kwa moja akiwa ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa namba +255764548607.
GPL
Soma zaidi Hapa »
Katika mahojiano na gazeti hili akiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam, Kayombo alisema bado hajui hatima ya maisha yake kutokana na mateso anayoyapata usiku na mchana huku akitoa simulizi ya majonzi namna gonjwa hilo lilivyomtokea.
Alisema awali akiwa na umri wa miaka 11 alilazwa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya lakini baadaye wazazi wake walifariki dunia na hakupata kuwajua ndugu zake jambo ambalo anaona hakuna haja ya kuwa binadamu huku akionekana mwenye mateso makubwa.
“Sioni faida ya kuwa binadamu, niliugua kama utani, ilifika wakati nikajua kitu cha kawaida, nilishangaa kuona linazidi kuongezeka nilijua utakuwa ugonjwa wa muda mfupi, lakini nikashangaa usiku na mchana mateso yanazidi.
“Ni tatizo ambalo hata mimi mwenyewe sijui chanzo chake, lilianza kama kauvimbe ka kawaida, sikutambua mapema na sikuwa na hela kwenda kwenye kituo cha afya kwa matibabu zaidi.
“Nilijipa moyo kuwa ipo siku nitakuwa sawa lakini kwa mpaka sasa nimeshakata tamaa, sina baba wala mama, hapa kweli kuna haja ya mimi kuitwa binadamu? Sina kazi na sikubahatika kusoma ni nani atakayeokoa maisha yangu?
“Maisha haya ni Mungu tu anayeweza kuniokoa, inaniuma sana! Ningekuwa na ndugu wangeweza kunisaidia japo hata pesa ya matumizi. Eee... Mola okoa maisha yangu (analia). Napenda kuishi kama binadamu wengine lakini kwa hali hii sina amani kabisa.
“Zamani wakati tatizo linaanza nilikuwa na tabia ya kusali mara kwa mara lakini nimefika hatua ya kukata tamaa na kuona hakuna haja.
“Namuomba rais aje anitembelee ajionee mateso ninayoyapata usiku na mchana, nimepangiwa kwenda kufanyiwa operesheni India lakini sijui lini na itakuwaje!” alisimua Kayombo na kumaliza na kilio tena.
Kama utakuwa umeguswa na tatizo la Haruni Kayombo basi usisite kutoa mchango wako kwenye namba yake ya simu, mtumie kwa njia ya M-PESA ama wasiliana naye moja kwa moja akiwa ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa namba +255764548607.
GPL
Soma zaidi Hapa »
Subscribe to:
Posts (Atom)

































