MATOKEO YA LIGI EPL, LIVERPOOL WASHIKA USUKANI SASA
 Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza Luis Suarez (wa pili kulia) baada ya kuwafungia moja ya bao dhidi ya Cardiff leo
Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza Luis Suarez (wa pili kulia) baada ya kuwafungia moja ya bao dhidi ya Cardiff leo
Manchester
 United 3-1 West Ham, Liverpool 3-1 Cardiff, Fulham 2-4 Manchester City,
 Crystal Palace 0-3 Newcastle, Stoke 2-1 Aston Villa, Sunderland 0-0 
Norwich, West Brom 1-1 Hull. Kwa matokeo ya leo, Liverpool wameongoza 
Ligi Kuu ya England wakiwa na pointi 36 wakifuatiwa na Manchester City 
pointi 35 na Arsenal pointi 35!
 
 


 
 

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII