HUYU NDIO DJ MTANZANIA AMBAE AMEFANYA KAZI NA HAWA MASTAA WA DUNIA KAMA CHRIS BROWN IRELAND.
Dj
Frank Jez ni mtanzania ambae aliondoka Tanzania kwenda Ireland kusoma
miaka ya 90 na baadae akaamua kuishi huko na kuanza kuwa Dj, mpaka sasa
ameshaandaa na kufanya show na mastaa mbalimbali wa muziki duniani.
0 comments:
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII