RAY C AANZA NA YEYE TABIA MBAYA, TAZAMA PICHA ALIZOTUPIA MTANDAONI

1 comments
Mwanamuziki staa wa bongo fleva Rehema Chalamila a.k.a Ray C amepoteakatika anga ya muziki kwa kipindi kirefu kutokana na matatizo ya matumizi ya madawa ya kulevya na baada ya kupata tiba sasa mambo yanaonekana kurudi katika hali yake ya kawaida.
 

Pamoja na ukimya wake katika muziki, Ray C a.k.a kiuno bila mfupa sasa anaonekana kuwa active zaidi katika mitandao ya kijamii hususan Instagram. 

 

Ray C ameshare baadhi ya picha na fans wake kupitia instagram ambazo kwa namna moja au nyingine zinaongea zenyewe (kwa kusindikizwa na captions) juu ya maisha yake ya sasa.

 

Kwa ufupi ni kuwa Rehema anakula bata tu sasa hivi, thanks kwa shavu alilopewa na Rais Jakaya Kikwete ambaye anamuita ‘Daddy’. 



Take a look more pics inside….



     ********PICHA ZAIDI ZIKO HAPA, BOFYA HAPA SASA***********

Soma zaidi Hapa »

HUDDAH MONROE AZIDI KUCHAFUA HALI YA HEWA, ATUPIA PICHA ZA UTUPU KIBAO, TAZAMA HAPA

0 comments

KAMA UNAJIWEZA UNAWEZA KUTAZAMA PICHA ZAIDI HAPA

ONYO : NI HATARI KWA AFYA YAKO==>>BOFYA HAPA

Soma zaidi Hapa »

TAZAMA PICHA ZA MAZISHI YA MPIGA DRUMS WA TWANGA, MCD....PICHA ZIPO HAPA

0 comments
Marehemu Masoud Mohamed MC D enzi za uhai wake.


Marehemu Masoud Mohamed maarufu kama MC D mpiga tumba wa Bendi ya Twanga Pepeta amezikwa leo Saa Saba katika Makaburi ya Njoro yaliyopo Moshi Mkoani Kilimanjaro. Katika Mazishi ya Mwanamuziki huyo wadau mbalimbali wa muziki wa Dansi waliungana pamoja kumsindikiza MC D katika safari yake ya Mwisho. Marehemu MC D alifariki Siku ya juma tatu saa nne usiku katika Hospitali ya KCMC dakika chache baada ya kufikishwa hapo kwa matibabu. Hata hivyo wanamuziki wa bendi mbalimbali walikua wakimlilia huku wakikiri ya kuwa hakuna mpiga Tumba mahiri kama yeye na Kifo chake kimeacha pengo kubwa katika muziki wa dansi.



Ndugu na Jamaa wakiwa wanasubiri mwili wa MC D uandaliwe na kuwekwa katika Jeneza Tayari kwa Maziko.

Mpiga Drums wa Twanga Pepeta mwenye miwani nyeusi anayefahamika kwa Jina la MKIBOSHOO akiwa nje ya Nyumba ya kina MC D tayari kwa kumsindikiza Mwanamuziki mwenzake.

Baadhi ya wanamuziki na wapenzi wa muziki wa Dansi wakiwa wamekaa kwa majonzi eneo la nje la Msikiti wa Rahma uliopo Moshi ambapo Mwili wa Marehemu ulikua ukisaliwa kwa mara ya mwisho.

Wanamuziki na mdau wa Muziki wa Dansi Bahati aliyeweka mkono mfukoni wakijadili jambo nje ya msikiti wa Rahma.
Safari ya kuupeleka mwili wa MC D makaburini

Umati wa watu ukiusindikiza Mwili wa Marehemu MC D kuelekea Makaburini

Safari ya kuelekea Makaburi ya Njoro mahali atakapolazwa MC D

 Hii ndiyo nyumba ya Mwisho atakapolazwa MC D


Mwili wa Marehemu MC D ukitolewa katika Jeneza tayari kwa kuzikwa.

Mwili wa MC D ukihifadhiwa kaburini kwa Taratibu za Kiislam

Mdau wa Muziki wa Dansi Tanzania Ndugu Patrick Kisaka maarufu kama Dozee akishuhudia Mwili wa MC D ukihifadhiwa Kaburini.


Wanamuziki wa Twanga Pepeta wakiwa kwa ukaribu katika shughuli ya kumuhifadhi mwanamuziki mwenzao marehemu MC D.
Umati wa watu ukiwa katika makaburi ya njoro katika safari ya mwisho ya MC D

Shughuli ya kurudisha udongo Kwenye kaburi ikiendelea.
Hii ndiyo nyumba ya Milele ya Mwanamuziki Nguli na Mpiga Tumba Maarufu Tanzania MC D

Soma zaidi Hapa »

KAMA HUKUWAHI KUIONA VIZURI NDEGE YA RAIS WA TANZANIA, TAZAMA PICHA ZAKE HAPA

0 comments
Hii ndio Ndege ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambulika kama 5H - ONE

Soma zaidi Hapa »

TAZAMA PICHA ZA MAHALI ANAPOISHI BABU WA LOLIONDO BAADA YA KUCHUMA PESA ZA WATZ

0 comments
 Hii ni nyumba aliyokuwa anaishi Babu Ambi kabla Dozi ya Kikombe haijachanganya





Soma zaidi Hapa »

MAMBO YA MSWATI NDIO HAYA.....DUHH

0 comments

Baadhi ya Wasichana vigori wa Swazland wakiwa kwenye gwaride rasmi tayari mmoja wao kuchaguliwa na King Mswati 11 kuwa mke wake. Mchakato huo hufanyika kila mwaka.
Once described as the ‘luckiest man’ in Africa, Swaziland’s King Mswati III picked an 18 year-old beauty contestant as his 14th wife, revealed a palace spokesman.
“I can confirm that the king has introduced to the nation a new liphovela (royal fiancee),” said Timothy Mtetwa, the palace governor.
Young Swazis participate in the Reed Dance. [photo/mobile.saharareporters.com ]
Young Swazis participate in the Reed Dance. [photo/mobile.saharareporters.com ]
The King is said to have ‘noticed’ the 18-year-old former high school student who graduated last year in the Reed Dance ceremony held last month. The Reed Dance is an annual traditional Swazi dance ceremony where young Swazi women parade past the king, bare-chested, to allow the King to pick a new wife. The ceremony has become a tourist sensation in the small landlocked southern African country as sometimes tourists join the dance ‘just for the fun of it’. In may, a 15-year old student at a local private school near the residence palace of the king’s fourth wife fled to Britain after the king begun making advances at her to join the harem of his then 13 wives.
“No one ever says no to the King, so I just fled when he begun contacting my school,” the girl had indicated then. It took the intervention of the aunt who smuggled her out to Britain to continue with her education.
King Mswati. [photo/telegraph.co.uk]
King Mswati. [photo/telegraph.co.uk]
The new bride, Sindiswa Dlamini, whom the King picked last month, was introduced to the royal household adorned in red feathers after it was found expectant. It is a tradition that the King’s virgin pick must become pregnant before joining the country’s royalty.

About NOMAD from SleepOut.com

Travel just like life should be inspiring, amusing, down-to-earth and diverse. NOMAD brings together original travel pieces by SleepOut.com guests and writers from around the globe written expressly for the NOMAD in you.












Soma zaidi Hapa »
Copyright © 2013. ArtAfropixels Media.com - All Rights Reserved
Customized by: IT XPERTTZ ONE | Powered by: BS
Designed by: Tilabs